Mwanaume Usimwachie MKEO Hela Chumbani, Mwachie Mbele ya Watoto na Umwambie ni ya Matumizi...Usije Geukwa



*MWANAUME USIMWACHIE MKEO HELA CHUMBANI* 
MWACHIE MBELE YA WATOTO NA UMWAMBIE 
NA MATUMIZI YAKE, NA WATOTO WASIKIE USIJE KUISHI MAISHA YA UPWEKE UZEENI 
*MWANAUME* 
Unamwachia mkeo hela ya Chakula Chumbani, 
Mke Anatoka na Kapu anaenda kununua Chakula, 
Anapika, Anawaambia watoto, Njooni Wanangu 
Mle Nimewapikia Chakula Kitamu, Watoto 
wakishakula Wanasema Asante Mama. 
*MWANAUME* 
Unamwachia Mkeo hela ya Nguo za Sikukuu 
Chumbani, 
Kesho Yake mkeo Anatoka kwenda Kununua 
Nguo, Akirudi Anawaambia Wanangu 
Nimewanunulia Nguo za Sikukuu Njooni Mjipimie, 
Watoto Wakishajipima, Anawaambia Wanangu 
Mmependeza Eeee, Simnaona Ninavyowapenda 
Watoto wanafurahi na Kusema Asante Mama, 
*MWANAUME* 
Kila Aina ya Pesa ya Matumizi Unamwachia 
Mkeo Hela Chumbani, 
*MWANANUME* 
Ukifika muda wa kutoa Ada Unamkabidhi Mkeo 
Hela Chumbani, 
Kesho yake Mkeo Anawaambia Watoto kuwa 
Anaenda kuwalipia Ada ya Shule, Akirudi 
Anawaambia Wananhu nimeshawalipia Ada, Na 
gari za Shule Zitakua Zinawapitia, Nataka Msome 
Wanangu ili Baadae Mje Mnitunze, Watoto 
Wanasema Asante Mama. 
*KIBAYA ZAIDI* 
Ukifika muda wa kutoa Adhabu, Mkeo yeye hatoi 
Adhabu, Anawaambia Watoto, Ngoja Babayenu 
Arudi, Nawewe Ukirudi Unaelezwa na Mkeo
matatizo ya Wanao, Unachukua Bakora 
Unawaadhibu Watoto, Bila kujua kuwa Unazidi 
Kujenga Uhusiano M'BAYA na Wanao. 
*NGUMU KUMEZA* 
Ukifika Uzeeni, Watoto wako Hawana 
*KUMBUKUMBU* Yoyote Ya mema uliowafanyia. 
*MWANAUME KUWA MAKINI SANA* 
*_ZINGATIA HAYO KWA MAISHA YA UZEENI_* 
Najua wazee wenzangu mtakuwa mmenufaika na 
somo hili....#



  🔞WAKUBWA TU:TAZAMA VIDEO ZA WAKUBWA LIVE UJIONEE STAILI KALI ZA KUMFIKISHA KILELENI MPENZI WAKO




No comments: