MARA NYINGI PENDA KUTUMA SMS KAMA HII KWA MPENZI WAKO

Uko wapi wangu malkia,,mwenzio hamu nasikia,,nawe ndie ujuae hamu kuitoa,,tafadhali dear upatapo msg hii niko nyumbani nakusubilia………….!!!!!!!!!!
I LOVE U MY DEAR……..
&->>>>>>>>***<<<<<<<<<<<<-&

No comments: