PUNYETO HUSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

PUNYETO HUSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME



Punyeto husababisha ukosefu wa nguvu za kiume na uume kuwa mfupi zifuatazo ni sababu kuu

i🥕kudhoofisha na kuharibu mishipa ya uume ambayo hufanya uume kuwa na nguvu

ii🥕hudhofisha utendaji kazi wa mishipa ya ater ambayo ambayo ndio hutumika kama njia ya kusafirishia damu kupeleka kwenye misuli ya uume na ivyo kuufanya uume usimame

iii🥕punyeto hupelekea kuvuja kwa mishipa ya neva na hivyo kusababisha kufyonzwa kwa haraka Sana kila kila iingiapo ndani ya misuli ya uume na matokeo yake ni uume kusimama kwa mda mfupi Sana wakati wa tendo la ndoa

iv🥕punyeto huathiri mtiririko wa damu kwenda kwenye mishipa ya uume kwa sababu hudhoofisha misuli ya uume pamoja na mishipa ater ambayo ndio hutumika katika kusafirisha damu kwenda kwenye Hume

V🥕hujenga ukungu katika kiwanda cha uzalishaji manii  (mbegu za kiume)ambayo hudhoofisha manii na kusababisha joto la haraka pindi tu upatapo hisia ya mapenzi ndio unajikuta unakojoa haraka

DALILI ZA MTU ALIYE ATHIRIWA NA PUNYETO

i🌶uume kurudi ndani

ii🌶uume kusimama ukiwa legelege

iii🌶uume kusinyaa na kuwa kama wa Mtoto

iv🌶kufika kileleni haraka wakati wa tendo

v🌶kushindwa kurudia tendo round inayo inayofuata au kuchelewa kurudia ten do

vi🌶muda mwingini uume kusinyaa ndani ya uke wakati wa tendo la ndoa

vii🌶kutoa manii nyepesi zisizo na nguvu hata utokaji wake sio wa kuruka





No comments: