LEYLA..! (Binti bikra) ~Sehemu ya12~

LEYLA..!
(Binti bikra)


~Sehemu ya12~

Ilipoishia..
Hapo ndipo nilipoiona tofauti kubwa kati ya watanzania na mataifa ya watu wengine, kumbe sisi watanzania ni wapole na ni wakarimu sana..

Endelea..

Siku hiyo nilishinda pale ubalozini hadi jioni, ambapo nililetewa magazeti ili nisome kilichoandikwa.
Niliambulia kuona picha zangu tu za matukio tofautitofauti kuhusu mauaji yangu, lakini sikuweza kung'amua hata neno moja la kiarabu.
Baadae alikuja yule dada na kunichukua ambapo tuliingia ndani ya gari hadi nyumbani kwake.
Nilimuuliza yule dada juu ya nini kilitokea kule mahabusu baada ya mimi kuzimia.
"Kwani si nilikupa gazeti usome..!" Aliniuliza kwa mshangao.
"Kiukweli limeandikwa kwa lugha ya kiarabu mimi siijui..!" Nilijibu huku nikijionea huruma na umbumbumbu wangu, kwani hiyo lugha ya kiswahili tu inanipiga chenga muda mwengine.
"Jana usiku ulikutwa umezimia, lakini pembeni yako kulikua na maiti za askari nane ambazo zote zilikua zimekatwa vichwa vyao huku uume wa kila mmoja pia ukiwa umekatwa.
Maafisa wa upelelezi wanaujua ukweli kuwa sio wewe muuaji kwa maana hadi wewe mwenyewe ulikutwa ukiwa uchi kama ukivyozaliwa, tena walikupaka mafuta ya kutanua maumbile ili wakufanyie kinyume na maumbile.
Ndio maana balozi wetu akashindwa kuuvumilia unyanyasaji huu na kuamua kukusaidia mtanzania mwenzake..!" Alimaliza kuhadithia dada yule ambapo kwa mara ya kwanza niliiona thamani ya viomgozi wetu wa kiserikali.

Niliishi pale kwa wiki mbili tu, ambapo tayari nilikua na umri wa miaka21.
Nilisafirishwa hadi Kenya na kupewa pesa za kunisaidia kuanza maisha mapya, ambapo niliambiwa ndege ya kwenda hadi Tanzania itafika saa1 jioni, lakini niliona bora nikachukue mabasi nisafiri hadi Tanga.
Kweli nilichukua basi linalokwenda Dar es salaam na kushukia Tanga mjini.
 Ilikua tayari ni saa4 usiku, nilikodi chumba katika moja ya gest pale mjini na kulala hadi asubuhi.
Kiukweli niliyapenda mazingira ya Tanga, niliona ni vyema sasa niamue tu kuishi katika mji ule wa Tanga, hivyo nilitafuta chumba na kwenda kupanga katika mtaa mmoja ulioitwa magomeni, hapo niliyaanza maisha mapya..

Nilianza maisha ya kufanya biashara za nguo, ambapo nilifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana hadi nikafikia kipindi nikawa naenda kuchukua mzigo mombasa na kuuza Tanga.
Biashara yangu ilitanuka na kupata masoko hadi Moshi na Arusha.
Siku moja nilikwenda sehemu moja kwa mtaalamu wa biashara panaitwa Masiwani shamba, aliniambia mambo mengi sana kuhusu mwili wangu na kusema kuwa tayari nimeshapona tatizo langu, ila sitakiwi kukutana na mwanaume yoyote kimwili mpaka nimalize dawa alizonipa, ambazo ilikua bado kama wiki mbili tu nimalizie dawa zile.
Kiukweli siku hiyo nilirudi nyumbani mapema sana na kupumzika, kwa hakika sasa niliona nimekuwa mtu kamili, zile nyege mshindo zote sikuweza kuzisikia tena, niliyapanga maisha yangu yalikaa vyema.
Ilipofika saa9 ya alasiri ya siku hiyo alikuja Mudi kijana wa mama mwenye nyumba yangu na kuniomba mchango wa mechi yao ya fainali ya mpira wa miguu katika kombe la Diwani ambapo fainali itachezwa katika uwanja wa mkwakwani.
Mudi alisema wamewaleta hadi wachezaji kutoka Dar es salaam ambao wanachezea timu za ligi kuu wenyewe wanaita ndondo, hivyo walikua wamepungukiwa shilingi laki moja.
"Sasa ole wenu mufungwe huko mtazirudisha pesa zote..!" Nilimtania mudi huku nikimkabidhi laki moja na elfu hamsini.
"Asante sista white..! Ndio maana vijana wa hapa wote wanakukubali kwasababu wewe ni mzungu..!" Alinisifia mudi huku akitania na kuondoka.

Usiku majira ya saa1 hivi, nikiwa ndani nilisikia kelele za watu wakishangiria huku wakitembea na kigoma cha uruguai..
Loh.. mwenzangu nilijikuta nikitoka barazani ili nami niangalie ni nini kinachoendelea, basi unaambiwa ile kutoka tu vijana wakaniona, hapohapo walibadilisha nyimbo zao huku wakina mudi walikuja kunibeba juujuu na kuniimbia nyimbo ya kunisifia..
"Sista white... Mzungu wa roho..!" Hiyo ilikua ni baadhi ya mistari katika nyimbo hiyo, walinibeba hadi maeneo ya mkunguni ambapo ndipo ilipokua maskani yao, hapo kulikua na mziki ukipigwa na watu walijaa hatari, umaambiwa hadi gari hazikuweza kupita katika eneo lile.
Nakumbuka ilikua ni mida ya saa4 za usiku nikiwa njiani kurudi nyumbani kwangu, alinifata kijana mmoja aliyekua amevaa bukta ya mpira na kunisimamisha kwa pembeni kidogo kwenye kiza.
"Sista samahani.. mimi mwenzako nimekuelewa sana..!" Aliniambia yule kijana.
"Asante nashukuru..!" Nilimjibu huku nikitaka kuondoka baada ya kulijua hitaji lake, kiukweli toka siku niliyoambiwa na mganga kuwa nisubiri nimalize dawa kwanza, nilijiweka mbali sana na wanaume.
"Subiri basi sista..! Hemu njoo kidogo mtoto mzuri.. wee..!" Alisema kijana huyo huku akinivuta na kuingia kizani zaidi.
Ni bahati mbaya sana nilisahau kuvaa chupi baada kukoga maji ya dawa na kuvaa kanga na dera langu la msomali ili niwahi kutoka nje kukishuhudia kile kigoma.
"Bwana mwenzio naumwa.. bwana.. wewe ka..kaa.. uwii.. yes.. aish.. ooooh.. my.. good.. hapo.. hapoooo..!" Nilikua nikimkatalia yule kijana lakini alinishika na kuingiza kidole chake hadi kwenye uke wangu, nikajikuta napata raha ajabu, nilimkumbatia yule kijana na kujikuta nampanulia panuuu...!

Itaendelea...



No comments: