HADITHI: RED BIKINI




"I like to see a female homosexual, because its make me to feel good!" Alikuwa si mwingine bali ni  kijana aliyefahamika kwa majina ya Edwin Dango akijibu swali aliloulizwa na rafiki yake aliyefahamika kwa jina la Sudi.

"Aahhhahahaha!"
"Kwanini unacheka? Wakati naongea kitu ninachojihisi Mimi." Huku akimuangalia rafiki yake.

"Najisikia vizuri ndio ninapo cheki filamu za mapenzi ya jinsia moja tena wakiwa wanawake dah! Basi huaga najisikia raha sana moyoni." Edwin aliendelea kujitapa na kusifia uchafu anaoupenda yeye.

"Ila! Itakuwa umesha hathirika na suala hilo itakubidi upate matibabu ya kisaikolojia." Sudi aliamua kumpa ushauli rafiki yake huku akipanda juu ya kitanda chake.

Vijana hawa walikuwa ni wanafunzi wa chuo kikuu kimoja wapo hapa nchini na walikuwa wakiishi katika hosteli za chuo chao.

"Kwa hiyo leo unataka kuniambia unalala mchana?" Edwin alimuuliza rafiki yake huku akiwa anaendelea kuangalia picha cha ngono anazozipenda.
"Wewe bwana endelea na ujinga wako huo, ila...!" Akasita kidogo na kuchungulia kitanda cha chini alichokuwa amekaa Edwin.

"Vipi!?"
"Kuna demu atakuja hapa so kama vipi jikatae mapema nataka nije nipige!" Sudi alizungumza huku akiwa bado anamchungulia rafiki yake aliyekuwa bado yuko busy kuangalia video zake japo alikuwa akimsikiliza.

"Bwana wee! Kama mntafanya huo ujinga wenu fanyeni, siwezi kutoka mimi!"
"Utaweza kuvumilia mikito?"
"Itanibidi nijikaze tu maana mvua hizi mimi nitaenda wapi?"

"Basi utahamia upande wa pili kule!" Sudi alizungumza huku akiwa anarudi kitandani kwake na kufunika pazia aliyokuwa ameifunga na kuibana kwenye kamba aliyoifunga kwenye pembe za ukuta na kukifunika ili kisionekane endapo kama mtu ataingia ghafla chumbani.

Kilikuwa ni chumba kikubwa kinachoweza kuchukua watu wanne lakini cha ajabu hawa vijana walikuwa wakiishi wawili tu, na si kwa mwaka huu wa tano bali tangu wakiwa mwaka wa kwanza ndio ilikuwa tabia yao kuhonga pesa ili wapangiwe chumba kimoja watu wawili kwa ajili ya kufanya mambo yao.

"Tena ngoja nihamie kabisa, msije mkaniletea fujo wakati wa filamu yangu imekolea!" Huku akinyenyuka kitandani na laptop yake ikiwa mkononi. Alipofika upande wa pili Edwin akaiweka laptop yake kitandani na kurudia shuka na mito yake ya kulalia kisha akaenda upande wa pili kujilaza na laptop yake akaiweka tumboni akiendelea kupata burudani zake.

Zilipita dakika takribani kumi tano ndipo mlango wao ukasikika ukigongwa, Sudi alikurupuka juu ya kitanda na kumchungulia rafiki yake aliyekuwa yuko busy akiendelea kuangalia video zake na masikioni akiwa amevaa earphones.

"Yani huyu jamaa hata ukimtukana hasikii!" Huku akishusha toka kitandani na kwenda hadi upande wa pili alipolala Edwin na kumpiga kibao kichwani.

"Nini!?" Edwin aliuliza huku akivua earphones masikioni mwake.
"Matako yako!" Sudi alimtukana Edwin kwa sauti ya upole huku akimsogelea usoni na macho akiwa ameyatoa.

"Mlango unagongwa husikii?"
"Sasa nitasikiaje?"
"Utakuja kuwa kiziwi daima mjinga wewe!" Huku Sudi akienda kufungua mlango na akiwa anajilamba lamba midomo yake na kumkonyeza Edwin ili apate kuangalia chombo kinachotaka kuingia ndani.

Kila mtu macho yalikuwa mlangoni na mlango ulipofunguliwa tu Edwin alibaki kayatoa macho huku akiwa kama kichaa aliyepigwa na bumbuazi maana aliingia mdada mmoja mzuri hakuwahi kumuona kabla.

Yule dada alipoingia tu akajijuta akipokelewa kwa kumbatio la hatari na kijana Sudi kisha akammalizia na busu moja kali la shingoni na kumkonyeza Edwin ajifiche ili demu asije akajua kama kuna mtu mwingine.

Edwin alifunika pazia ya kitanda kisha akavua earphones zake na kusikilizia nini kinachoendelea lakini muda huo wote mashine yake ilianza kusimama mnara ikihitaji mchezo kwa maana chombo alichokiona kilikuwa sio cha kawaida.

Sudi alipompokea Yule dada hakutaka hata kumpandisha kitanda cha juu ikambidi akae nae kwenye kitanda cha Edwin.
"Mshenzi huyu, yani anataka kumaliza ujinga wake kitandani kwangu?" Edwin alibaki akijisemea huku akiwa anachungulia kwenye sehemu ya pazia iliyokuwa wazi kidogo.

"Mmh! Inamaana humu ndani uko peke yako?" Yule msichana alimuuliza Sudi huku akiwa anajaribu kuangaza angaza kila kona.
"Inamaana huniamini?" Huku sudi akimkumbatia yule binti kwa nyuma hadi akafanya uume wake uanze kugonga chupi ukiomba kutoka ili apate kumsabahi mwanadada yule.

"Duh! Ase huyu mtoto ningempata mimi dadeki zake huu muda ningekuwa nishamaliza cha kwanza!" Edwin aliendelea kujisemea kichwani huku mate yakiwa yamemjaa mdomoni.

"Vipi mbona kama una wasi wasi?"
"Hapana ila mbona unaharaka hivyo?"
"Haraka wapi? Ushafika mtoto machinjioni yanini tena uulizie visu vya nini?" Sudi alizungumza huku akimvuta mkono yule binti.

Sudi alipoona mtoto wa kike kalegeza kamba hakutaka kumchelewesha ikambidi amdake na busu mwanana la mdomoni lililomfanya yule binti aishie kuguna na kujilegeza.

Ghafla mihemo ilibadilika na kuanza kuhema haraka haraka na mapigo yao ya moyo yakianza kwenda kasi kuliko kawaida.

"Nini!?" Yule binti alimuuliza Sudi kwa sauti ya kunong'ona.
"Hamna kitu baby!" Huku akianza kumfungua zipu ya suruali yake.

"Taratibu basi mpenzi!" Yule binti aliongea huku akiwa ameregea na shingo yake ikiwa begani mwa Sudi.

Sudi aliona kama anachelewa akaamua kumnyenyua mzima mzima na kumkalisha kwenye meza kisha akaanza kuivuta ile suruali na kuitupia upande wa pili alipokuwa amelala Edwin. Ile suruali iliruka na kuingia ndani ya shuka alimojificha Edwin na kumfunika usoni.
"Shenzi! Dadeki zake!" Huku akiitoa ile suruali usoni make na kuendelea kuushuhudia mchezo mzima unavyoendelea.

Binti wa watu bila kujua alijikuta alibaki na bikini nyekundu iliyo mkaa vyema ukilinganisha na umbo lake alilojaaliwa na Muumba basi huku kijana Edwin alijikuta akiingiza mkono ndani ya bukta yake na kumtuliza jamaa wake atulie.

Sudi alijipachika katikati ya mapaja ya yule binti kisha akaanza kumshika shika matiti yake kwa kuyaminya minya kwa ustadi wa hali ya juu na kumfanya yule binti aanze kuhema kwa fujo huku akiwa amemkumbatia Sudi kimahaba.

"Oooh! Baby hapo hapo taraa....tiii....bu mpenzi!" Dada wa watu aliendelea kulalamika huku akiwa anajinyonga nyonga juu ya ile meza kwa utamu aupatao.

Sudi alikuwa fundi usiombe, alianza kumnyonya na kumlambalamba shingoni huku akiwa kama anang'ata ng'ata ngozi ya shingo na kupozea kwa ulimi taratibu hadi masikioni mwa yule binti.

"Aaaashiiiiii.......siiiiisiiiiiiii.......Sudi taratibu baby!" Huku akitoa ulimi na kujilamba midomo yake na alipoona haitoshi akajikuta dada wa watu akijing'ata midomo yake ya chini akisindikiza utamu wake.

"Ayayayaya!! Mtoto laini balaa!" Edwin aliendelea kuweweseka kule alipojificha na uume wake ukiwa umemsimama balaa kwa hamu ya kutaka nayeye apate mchezo.

Huku upande wa pili kwa kijana Sudi aliendelea kutoa dozi ya mahaba na safari hii alijikuta akianza kunyonya matiti ya yule binti kama ananyonya maembe dodo vile. Dada wa watu alijikuta akilegea na kuchanua miguu yake kwa raha na mikono yake ikiwa imejishikiza kwenye meza ili kusudi apate balansi ya kupatiwa utamu.

Sudi akaanza kulamba chuchu huku akiwa kama anazing'ata ng'ata kimahaba na kumfanya yule binti awe anashtuka shtuka kila mara na midomo yake akiwa anajiuma uma na macho akiwa ameyafumba kwa madaha.

"Aaaasiiiiii.....! Mmmmmh! Aaaiiiii babby taratibu mpenzi sasaaaaaaaasssiiiiii..." Unaambiwa alijikuta akilalamika mpaka akajisahau na kujilaza juu ya ile meza huku akiwa bado amemshikilia sudi aliyekuwa juu yake.

"Mamaee hizi dharau sasa!" Edwin alijisemea huku akiisogeza laptop yake pembeni asije akaiharibu.

Haraka haraka Sudi akavua fulana yake na kuitupa chini kisha akavua bukta yake na kuirusha pembeni kwa mguu, mwishoe akajikuta amebaki na chupi ama boksa iliyovimba mbele kuashilia jamaa kashachukia vibaya.

Dada wa watu aliendelea kutahabika pale mezani kwa maana sekeseke alilokuwa analipata lilikuwa sio la kitoto maana Sudi hakutaka kuacha eneo lolote bila kuchezewa.

Akaona anachelewa akaamua kuivuta ile bikini na kuanza kuitoa mwilini mwa yule dada na kuivutia mapajani na kumuacha mtoto wa kike akiwa mweupe kama alivyozaliwa. Binti akaona isiwe tabu akaamua kuivuta na mkono wake wa kushoto na kuimalizia ile bikini itoke mwilini mwake.

"Mama yangu! Cheki mtoto alivyonona?" Edwin alijiongelea huku akiwa ameyatoa macho yake kwa tamaa.

Sudi akaanza kupima oili kwa kutumia vidole vyake huku ulimi wake ukiwa unatambaa tambaa juu ya uke wa yule dada na kumfanya aanze kulalamika kwa sauti kwa maana alishindwa kuvumilia kabisa.

"Kha! Jamani aaaaassssiiiiiiiiiiiiiii.......mmmmhh!" Huku akijikunja na kuanza kumpapasa Sudi kiunoni kisha akaufikia uume wake na kuanza kuusugua sugua taratibu na kufanya uanze kusisimka mara dufu hadi ukawa unatema maji maji laini.

"Wewe jamaa mbona unachelewesha mziki?" Edwin alilalamika utazani rafiki yake alikuwa akimsikia.

Sudi akiwa anaendelea kumnyonya mpenzi wake sehemu za siri mara mlango uligongwa na sauti ya msimamizi wa hostel akiita. Sudi alishtuka na kukurupuka haraka haraka aliitafuta bukta yake na fualna yake ili kusudi akamsikilize anachohitaji.

Taratibu Sudi alianza kuusogelea mlango huku akimuacha mpenzi wake akiwa bado anajichezea chezea sehemu zake za siri pale mezani.

"Naomba unifate!" Ilisikika sauti ya msimamizi wa hostel ikimtaka Sudi amfate. Sudi hakutaka kuleta ubishi ilimbidi atoke nje na kuufunga mlango kisha akaanza kumfata msimamizi wao.

"Huyu mama nayeye hapendagi watu waburudike!" Edwin alijisemea huku akiwa bado yuko kule kule mafichoni. Huku binti wa watu akiwa bado anaweweseka kwa kumsubilia mpenzi wake aliyekuwa amechelewa sana ndipo Edwin akachomoka toka kitandani na kusimama mbele ya yule dada huku mashine ikiwa imemsimama balaa hadi yule dada akabaki anamshangaa.

"I can help you?" Edwin alimuuliza yule binti huku wakiwa wanashangaana.

ITAENDELEA



No comments: