Bidada zingatia haya
Bidada Zingatia haya๐๐ _ ๐JICHO ๐ legeza jicho wakati wa kumtazama bwana ๐ sio unalikaza mpaka anaogopa. Ikiwezekana kula kungu manga. Mwanamke ubunifu๐ _ ๐PUA ๐ usiseme nna pua mbaya cjui nn ๐๐ bb ukiongea na bwana ata km unapua km nukta shikashika uku ukijifanya km unamafua ๐ _ ๐SIKIO ๐ ata km una sikio km ungo lipambe kwa hereni sio lazima za kuning'inia km mmasai zipo ndogo, akija mume ataliona skio dogo๐ unakwama wapi shoga
_ ๐๐๐NYWELE๐ akuna limbwata zuri km nywele lkn mmh! Kuna baadhi ya watu nywele zimefungwa mabutu wala azijulikani rangi gani, wala mstari auonekani. Wanume wengine wanapenda kuchezea nywele jamani ๐๐ sio lazima uvae wigi, suka vizuri ata twende kilioni ๐๐ _
MENO ๐ shoga wee mume mpaka kula denda anaogopa kwa meno yalivyogandia vinyuzi vya spinachi na maharage. mswaki unaona km gundi ya viatu๐ . Alafu unasumbua watu mume wangu wala anikic, mara naombeni jinc ya kutengeneza limbwata wakati wewe mwenyewe limbwata ila ujui kujitumia.
_
ULIMI๐ shoga una kauli chafu km choo cha stendi shuti mume anaona bora arudi nyumbani saa 5 au 6 kawahi saa 4.๐๐ Na bado atarudi mpaka asubuhi km ujajielewa na kauli zako๐
_
SURA ๐ bibi poda toka umepambwa cku ya haruc mpaka leo ata wanja huujui๐๐ utaskia mie poda inantoa vipele ๐ฌ wanja na lipstik jee zinakutoa vidonda na majipu
_
SHINGO๐ jamani sio lazima cheni lifike tumboni vaa ata fupi๐๐ jiongeze ๐๐๐MKONO๐ mie sio muhindi nkitembea km nimejifunga mabati shoga vaa saa au nayo nzito km jiwe la fatuma?๐๐ wengine alhamdulillah waume zetu wanajitahidi kwa mapambo kutununulia ๐๐lkn wavaaji sasa kichefuchefu pooh!
_VIDOLE ๐ usieneze pete midole yote vaa japo 1 ili mume naye akikushika mkono aone tofauti๐
_
KIUNO๐ uwezi kuvaa shanga vaa cheni sio kiuno kiko plain km karatasi ya stationary bb inahuu ๐
_
TAKO๐ Aijalishi uko flat screen bb ๐๐mtege mumeo hivyo hivyo ๐ sio weye mchana dera ucku dera, mume anashindwa ata kuona shepu yako ๐๐ jiachie ukiwa ndani ๐๐
๐WAKUBWA TU:TAZAMA VIDEO ZA WAKUBWA LIVE UJIONEE STAILI KALI ZA KUMFIKISHA KILELENI MPENZI WAKO

No comments: