Jicho la Mahaba husema Maneno saba



🍇JICHO la mahaba , husema maneno SABA.🍇 🍇kuwa na KAWAIDA ya kumtazama MKE/MUME wako kwa jicho lililojaa

_

HUBA. 🍇 Hili Jicho LAWEZA kulainisha MOYO uliosusuwaa. 🍇Na Jicho hili hili hufikisha
UJUMBE hata kama ulimi HAUJATAMKA.

_ 🍇Jicho huomba radhi, Jicho hudeka pia, Jicho ni HAZINA moja kubwa ya kuleta mapenzi katika
ndoa. 🍇Jichunguze unamtazama kwa
JICHO gani mwanandoa mwenzako? Jicho la NDOANI au jicho la JESHINI? 🍇 Lugha ya MACHO ina ladha yake

_

MAALUM kwenye kuipamba NDOA. 🍇Jee wayatumia macho yako ktk ndoa yako ipaswaavooooooo ❓🍇 


  🔞WAKUBWA TU:TAZAMA VIDEO ZA WAKUBWA LIVE UJIONEE STAILI KALI ZA KUMFIKISHA KILELENI MPENZI WAKO




No comments: