SHANGAZI NAE ANATAKA.... 12



mapenzi yao yeye na shangazi yalizidi kushamili, na sasa yeye na shangazi yake walikuwa
wakikaa kama mke na mume, japo nje walionekana kama mtu na shangazi yake, Miezi minne mbele shangazi alianza kuon
mabadiliko mwilini mwake,

🍎na akiwa kama Dr, shangazi aligundua kuwa amesha shika ujauzito, pia aka akikisha kwa vipimo Vya
kitahalamu, navyo vilithibitisha kuwa, shangazi ameshika mimba ya wanae Jayden, yani mtoto wakaka yake, ENDELEA….

Lakini taarifa hiyo ilimchanganya sana Jayden, kiasi kwamba aliona ikimjia sura ya baba yake, akiwa amekasirika na kumhachia
lahana, kwa kutembea na shangazi yake, lakini kitu cha ajabu shangazi yeye akuonyesha dalili ya wasiwasi, zaidi ya furaha
usoni kwake “Jayden utaitwa baba hivi karibuni, namimi nitakuwa mama” maneno hayo ya shangazi ya limstua sana Jayden, nakuwa
msumali moyoni kwake,

🍎 akamtazama shangazi kwa mshangao, “shangazi inamaana uhioni ahibu inayo tukabiri mbele yetu?” aliongea
Jayden kwa mshangao, lakini ndio kwanza shangazi akatabasamu “kwani kuna ahibu mke kuzaa na mke wake?” aliongea shangazi
akisogeza mdomo wake kwenye shavu la Jayden nakumlamba busu moja matata, “usiwe na wasiwasi baba, ujuwe mtu unapoitwa baba
inatakiwa uwe shujaha, kuwa baba siyo kazi ndogo” aliongea shangazi kisha akazima taa ya kitandani, alafu akapeleka mkono
kwenye dudu ya mtoto wa kaka yake, nakutumia vidole vyake laini, kuchezea kichwa cha dudu ya Jayden, ambayo ilikuwa
imenyong’onyea kutokana na hofu ya kumpatia mimba dada wa kaka yake, “mmmmh! Mumewangu usiwe na wasiwasi, mbona umekuwa
muoga hivyo,” ahangazi aliongea akijiegemeza kifuani kwa Jayden huku mkono wake bado una pekecha dudu ya mtoto aliezaliwa na
wifi yake,

🍉“Jay hivi kama ninge kuwa siyo shangazi yako alafu umenipa miba unge ogopa?” aliuliza shangai baada yakuona bado
Jayden akili aija mkaa sawa, “nisinge ogopa kabisa” alijibu Jayden huku akipitisha mikono yake kwenye nywele za shangazi
yake, “kwahiyo una nipenda ila unamwogopa baba yako?” aliliza shangazi huku akiendelea kuchezea dudu ya mwanae, nakupenda
sana, tena nilikuwa nakutamani atakabla atujaanza kufanya mapenzi” alijibu Jayden akionyesha kuwa akuwa anatania, “ok! basi
usiwe na wasi wasi niachie mimi” aliongea shangazi akiizama ndani ya shuka na kusogeza mdomo wake kwenye dudu ya Jayden
kisha akailamba kidogo kwenye kichwa na kuidumbukiza dudu mdomoni, kisha taratibu akaanza kuinyonya, sekunde chache baadae
kutokana na joto la mdomoni kwa shangazi, dudu ikaamka nakujaa vyema mdomoni mwa shangazi, shughuli ikaendelea, ****** Siku
zilienda, tumbo la shangazi lilizidi kuongezeka, kila siku shangazi alijitahidi kumpunguza wasiwasi Jayden, akimtaka asiwe
na uoga juu ya ujauzito ule, ilifikia kipindi Jayden aliondokana nauoga, lakini akupenda tena kwenda likizo songea,
kwasababu nafsi yake ilimsuta, licha ya mama yake kupiga simu mala nyingi sana akimtaka Jayden aende akamwone, sababu ame m’
miss,

🌶 lakini Jayden alisingizia kubanwa na masomo ya chuo, kituambacho Jayden kilimfanya ashindwe kwenda kwa wazazi wake
alikuwa akiona aibu sana kuwaona wazazi wake kutokana na kitendo alicho kifanya, siku zili kimbia sana, huku bahadhi ya
weekend shangazi akitoka na Jayden na kutembelea marafiki na watu mbali mbali, ambao wengine Jayden akuwai kuwajuwa kabla,
kuna ijumaa moja walienda mikocheni, kumtembelea doctor mmoja mstaafu, anaitwa Dr Lazaro, anayeishi na mke wake ambae ni
mwalimu mstaafu pia, kiukweli walipokelewa vizuri sana, huku wazee wale wakimlahumu Dr stella kuto kuwa tembelea kwa mda
mrefu, Jayden alishuhudiawakipewa huduma na upendo wa hali ya juu sana, toka kwa wazee wale ambao walikuwa ni watu wenye
uwezo mkubwa wa kifedha kuliko shangazi yake, licha ya nyumba nzuri ya ghorofa tatu pia wali miliki magari manne yakifahari,

🍆
yaliyopaki uwani, wafanya kazi wa ndani wa tatu walikuwa wakishughulika mle ndani, huku walinzi wa kampuni ya KK securit
wakilnda nje, ila kuna vitu vili mshangaza Jayden, kwanza kuna kipindi wale wazee, Dr lazaro na mke wake, wali inga chumba
cha wage pamoja na Dr Stellah walituia kama nusaa wakatoka, licha ya kuwa walikuwa katika hali ya furaha kama waliyo mpkelea
lakini alihisi kuna mazungumzo yalikuwa yakiendelea huko chumbani, pili sikuile walilala pale, lakini licha yakuwa penzi lao
lilikuwa la siri, lakini walilala chumba kimoja kwa mda siku mbili, adi jumapili walipo rudi mbezi, “kwani wale ni wakina
nani?” Jayden alimwuliza shangazi yake yani dada wa baba yake ambae kwa sasa ni kama mke wake, kwajinsi walivyo ishi, “wale
ni watu muhimu sana kwangu, ndio walionisaidia mpaka nikafiakia hapa nilipo, mengi zaidi utayajuwa baadae” aliongea shangazi
huku akiwa ame kaa seat yapembeni, huku Jayden akiendesha gari maana ssasa ndiyo alikuwa analitumia sna baada ya mimba ya
shangazi yake, aliyo mpachika yeye mwenyewe kuwa kubwa sana, siku zilisogea na atimae miezi tisa ya ujauzito wa shangazi
ilitimia, akazaliwaa mtoto wakike, wakamwita jina JADA, jina lililo fanana na jina la baba yake, yani Jayden, wote
walifurahi sana kuzaliwa kwa mtoto huyo, huku Jayden akisahau kuwa amezaa na dada wa baba yake,
Mtoto alikuwa ametimiza wiki tatu, wageni waliendelea kuja kumwona mtoto wakiwemo ma doctor wenzake na shangazi, pia
alikuja Dr Lazaro na mke wake, walipo mwona mtoto walifurahi sana, wakasema sura ya mtoto ilifanana na Jayden, na watu wote
walio mwona mtoto walisema hivyo, wakizani mtoto amefanana na kaka yake au binamu,

🍆 Siku zilizidi kusogea, mtoto akatimiza
miezi mitano, sasa alikuwa anajifundisa kukaa, licha ya mtoto kuwa anakataa watu, lakini zaidi ya mama yake Dr Stella
alimzowea sana baba yake Jayden, na sura ya mtoto ilizidi kufanana na Jayden kila alipo kuwa akizidi kukuwa, ***** siku moja
Jayden alikuwa amechelewa sana kurudi nyumbani toka chuoni, nikuchelwa kuliko sababishwa na gari kumsumbua njiani, brak pad
za tairi moja, zilikuwa zina piga kelele kuashilia zimekwisha, alipitia kwafundi na kubadirisha pad kisha akafanya service
nyingine kama kumwaga oil na kusafisha air cleaner, kazi hiyo ilimchukua muda mrefu kidogo, mpaka saa mbili nanusu za usiku
ndiyo akaanza safari ya kurudi nyumbani, safari iliyo mchukuwa mpaka saa tatu na robo, ndiyo alikuwa anaingia nyumbani,
alipo maliza kupark gari vizuri akauendea mlango, ile anataka kuufungua tu mlango, akaona ukifunguliwa na shangazi yake
akiwa na mtoto wao JADA mkononi, Jayden kama kawaida akapiga busu shangazi mdomoni, kisha akampiga busu mtoto Jada, alafu
akamchukua mtoto, “baba Jada mbona umechelewa hivyo jamani” aliuliza shangazi kwasauti ya kudeka, huku akimshika bega Jayden
wakianza tembea kuelekea kwenye makochi, “lakini mama Jada sinilikutumia sms kuwa napitia kubad…..” alisita Jayden akitumbua
macho kutazama kwenye kochi moja, walilokuwa wame kaa watu wawili anao wafahamu,

🍆 alijihisi kutokwa na mikojo, nusu
amdondoshe mtoto kwa jinsi alivyokuwa anatetemeka, na kijasho chembamba kikaanza kumtoka kwenye paji la uso wake, alitamani
iwe ndoto ambayo amesha waikuota mala kadhaa, lakini aikuwa hivyo, ilikuwa kweli kabisa, yani baba yake mzazi ambae anajuwa
ni kaka wa shangazi yake ambae amezaa naye mtoto, pamoja na mama yake mzazi ambae niwifi wa shangazi yake, walikuwa
wakimtazama toka anaingia na kupokelewa na shangazi yake ambae kwa sasa ni kama mkewake, kiukweli Jayden alishuhudia sura za
wazazi wake zikiwa zimejawa na uzuni kubwa, inonyesha walisha juwa kila kitu juu ya yeye kuzaa na shangazi yake “mwanangu,
hiki ndicho chuo una chosoma?” mama Jayden alimwuliza Jayden ambae bado alikuwa amesimama akitetemeka mtoto mikononi mwake,
Jayden hakuwa najibu, “wifi subirini kwanza akae, ili awasalimie ndipo tuongee nae” aliongea shangazi uku akimwongoza Jayden
kukaa kwenye kochi, nayeye akakaa pembeni yake, baba Jayden alikuwa kimya akimwangalia mwanae, alikuwa ameshika mwanae
mkononi ambae sasa ni mjukuu wake, huku wakikaa wametazamana na mwanae alie zaa na dada yake, “wifi, imekuwaje ukaona
mwanangu ndie wakuzaa naye, kumbe kutuomba ukakae na Jayden lengo nikutembea na mtoto wa kaka yako, mbaya zaidi umezaa naye,
uchuro gani huu jamani” aliongea mama Jayden akiwa na dalili zote za kuangua kilio, tofauti na shangazi ambae alionekana
kutojari juu ya ahibu ile, “wifi kwani kuna ubaya gani mimi kuzaa na Jayden, wakati Jayden nimwanamume kama wanaume wengine,

🍆
na mimi nime mchagua huyu awe mume wangu” aliongea shangazi akimchanganya kila mtu mlendani, nakuwa fanya watazame vichwa
chini, kasolo baba Jayden peke yake ambae aliinua kichwa na kumtazama dada yake “dada Stellah umeniweza, nilijuwa unatania
ulipo sema mume wako, atatoka kwenye damu yangu” maneno ya baba yake Jayden nayo yali wastua Jayden na mama yake “jamani
naomba msinichanganye, we baba Jayden tafadhari, nieleze nielewe” aliongea mama Jayden akiinuka na kumshika kola za shati
mume wake baba Jayden, ambapo walisafiri toka songea kuja Dar kwa jambo hili, “wifi ebu! Tulia kwanza, najuwa mumeo awezi
kukueleza kitu mimi nitakueleza ukweli wote”

hapo mama Jayden alirudi na kukaa kwenye kochi alipokuwa amekaa mwanzo, yani pembeni ya mume wake, akatulia akimtazama wifi yake Stellah, Jayden akiwa pembeni ya shangazi yake huku amemshika mwanae Jada, nayeye alikuwa akisubiri kusikia alichotaka kuongea shangazi yake ambae kwassa alikuwa kama mke wake, baba Jayden alikuwa ameinamishaa kichwa, macho yote ametazama chini, shangazi naye alipoona wifi yake ametulia akaanza kuelezea, “wifi mama Jayden, nimefanya hivi makusudi kabisa, ni kwasababu ya kiapo nilichoweka mimi na mumeo” alisema shangazi kisha akatulia “wifi naomba unifafanulie, ni kihapo gani kinachosababisha ufanye uchafu kama huu?”

🍇aliongea mama Jayden akionyesha uchungu wawazi kabisa, “wifi samahani naomba ubadilishe kauri yako, wala siyo uchafu, nawala siyo uchuro, mimi kutembea na kuzaa na Jayden, tulia nikusimulie, naimani utanielewa tu!” shangazi alitulia kidogo, huku Jayden na mama yeke wakiwa makini kumsikiliza, ******* Siku za nyuma kidogo, nimiaka mingi iliyopita, Dr Stella akiwa kidato cha pili, aliamia shule ya sekondali ya Ruvuma day, huko songea mkoani Ruvuma, ni baada ya baba yake mzazi Dr Lazaro kuamishiwa mkoani Ruvuma kikazi, kuwa mkuu wa chuo cha ma doctor cha mkoa, akitokea Dar es salaam, alikokuwa akifanyia kazi kama mganga mkuu msaidizi wa hospital ya mwananyamala, akimwacha mke wake yani mama Stellah, dar es salaam, akiendelea kufundisha shule ya msingi mbezi mwisho, Stella alipo hamia pale Ruvuma day alipokelewa na marafiki wa aina mbali mbali, wote wakiwa ni wakike, akiwa maarufu sana pale shuleni, kutokana na uzuri wake, ilsemekana ni mmoja kati ya wanafunzi wakike wazuri kuliko wengine katika shule zilizopo songea mjini, sifa hiyo ilisababisha wanafunzi wenzake wakiume toka shule mbali mbali, kuangaika kurusha ndoano ya kumnasa kimapenzi, siyo kwa wanafunzi tu! ata walimu na watuwengine huko mtaani,

🍉wakiwa vijana kwa wazee, lakini Stella alikuwa makini sana, akutaka kujiingiza kwenye mapenzi na mwanamume yoyote, kwasababu moja kubwa, Stellah alikuwa na mpenzi wake James, alikuwa amemwacha Dar es salaam kwenye shule waliyo kuwa wanasoma pamoja, mbezi sekondali iliyopombezi luisi, kiukweli Stella alikuwa mzuri na mrembo sana , kwamwonekano wa sura na umbo lake matata, muda wote Stellah alionekana akiwa msafi, kiasi chakuwa mfano bora pale shuleni Ruvuma day, akichukuwa zwadi ya usafi kila mwezi, sifa zake zilienea shule zote za Songea na vitongoji vyake, nakusababisha wanaume wa shuleni kwao na shule za jirani, pamoja na wanaume wa mtaani, wazidi kumtongoza, ilifikia kipindi alitongozwa na wavulana sita mpaka kumi kwa siku moja, lakini Stella aliwamwaga, ilifikia kipindi usumbufu ulizidi mpaka ikawa kelo kwake, wakati huo ndani ya darasa lao alikuwa anakaa na kijana mmoja msataarabu sana, kijana huyu mwenye mwonekano wa maishaduni, alikuwa anaitwa Joseph au Jose kama wenzake walivyopenda kumwita, kiukweli licha ya kuwa karibu na Joseph, ambae alikuwa mpole na msikivu, lakini sikuzote wakiwa darasani akuna siku ata moja ambayo Joseph alitamka neno lolote la kimapenzi kwa Stellah, japo kijana huyu alionyesha dalili zote za kumtamani Stellah, labda kutokana na yeye mwenyewe kujuwa hali ya maisha yao na familia yao, kuwa yachini na uwezo ni mdogo sana wa kifedha, lakini kwa upande wa Stellah alitokea kumwona Joseph kuwa ni mwanafunzi msataarabu sana, ambae ange weza kuwa nae karibu,

🍏maana ata wanawake wenzie aliokuwanao karibu waligeuka kuwa makuwadi, kweli urafiki wao ukaanza taratibu, wakiongea kipindi wapo darasani, ikafikia kipindi urafiki wao ukazidi kushamiri, maana sasa walionekana pamoja atawakiwa nje ya darasa, sasa ata mwanamume yoyote alipo mtongoza Stellah, alijibiwa kuwa “nina mtu wangu” namtu mwenyewe alitajwa Joseph, licha ya watu kuponda na kumwona Stellah kuwa mjinga, amewakataa watu wenyefedha zao nakumkubari Joseph ambae sikuzote akuwa ata nafedha ya kunywea chai saa nne, mpaka anunuliwe na Stellah,pia ni kitendo kilicho pelekea wavulana wanafunzi na walimu, kuhacha kumsumbua Stella, lakini ukweli ni kwamba Joseph ma Stellah, muda mwingi walikuwa wawili, muda wote wakiitana kaka na dada.

ITAENDELEA………………………………..





No comments: