MWANAMKE KUJIACHIA





Narudia tena aibu ziachwe jmn kweny ndoa zetu mwanamk full kujiachia ndio manake, wengne mnaona haya Ata kugusa kidevu cha mumeo ndevu hazichezew eti mke anaona aibu kaaah jaman mbona mnazitia doa ndoa  hamjui kama  wanaume hulewesha kwa mawadda na hutulia kwenye ndoa mlijue ilo wanawake weka aibu kule mahabba weka mbele iyo ndo habari MWANAMKE KUJIACHIA

Aibu aibu peleka uko mtoto wa kike  chakula pia Kula nae mumeo tena mliashane mana wadada wengne ni too much mpaka Kula na mumewe mtoto wa kike anaona aibu hebu koma shost  some time mume anarudi kazini hutumwa mtoto akapokee jaman mume ana thaman yake na mtoto yake mpoo mana hapo mwanamke kisa mtoto na zile aibu zake amepata kisingizio mtoto hebu kuwa na adabu mwanamke na mumeo pia muangalie upo usimbanie macho muangalie vizur usimtizamie kwa chini kama ulofumaniwa muangalie bibi Yule ni wako muangalie unapotaka aibu za nin??? MWANAMKE KUJIACHIA

Inafika wiki mwanamk hajaketi na mumewe kumliwaza wala kumfanyia masg, ewe MWANAMKE kwa namna hii unakaribisha michepuko wewe mwenyew hebu acha izo tabia usifanye usungo tena mumeo akiwepo kazini uwe una mliwaza umtakie kazi njema na mtumie sms nzur upoo  apo lazima atakuwa na mood ya KUFANYA kaz kwa amani mwamke kujiachia aibu peleka uko haya muonee shemegi yako upo  ila sio baby daddy wako una nin? ?shoga uone haya umeiba?? MWANAMKE KUJIACHIA

Nawashangaa sana wengne hawakumbuki Ata sku walocheza na waume zao kisa anaona aibu mtoto wa kike Mwaname atavumilia mwisho atachoka kwa tabia hizi unachojua ww kupika na kupakuwa usiku ukasubiri tendo la ndoa tu hujuwi kucheza na mumeo hata kwenye tendo kachumbari huzikati upo upo kama gogo kisa aibu mtoto wa kike hemu acha izo tabia michepuko watakuibia halaf uje useme mume wangu hajatulia hajatulia au hukuweza kumtuliza ?changamka mwanamke!






No comments: