HADITHI: RED BIKINI SEHEMU YA NNE(04)




ILIPOISHIA👉🏽 Edwin aliufungua mlango na kukutana uso kwa uso na Irene. ENDELEA👇🏽

"Vipi mbona unanishangaa?" Irene aliuliza.
"Hapana kawaida tu."
"Nipishe nipite." Huku akimsukuma Edwin.

Irene aliingia ndani huku akikagua kila kona ya chumba hadi alipogundua hakuna mtu mwingine.

"Mmh! Inamaana kama kawaida yako ulikuwa ukiangalia uchafu wako?" Irene aliuliza huku akikaa juu ya meza.
"Unaushaidi gani?"
"Si naona laptop yako hapa mezani na nimeigusa nimekuta imechemka kudhihilisha ilikuwa on muda si mrefu." Huku akiigusa kwa kiganja chake cha mkono wa kulia.

"Hebu tuachane na hayo masula kwanza" huku akimvamia kwa mabusu mwilini.
"Mmh! Mmh! Hebu ngoja kwanza, sikuja hapa kwa hiyo kazi sawa?" Huku akimsukuma.

"Sasa unataka kusema umekuja ili tushangaane humu ndani?"
"Sikiliza nikwambie we mwanaume usiyetosheka." Huku akimshikia kiuno Edwin.

"Mbona aikuelewi?" Edwin aliuliza huku akikaa kitandani mwake.
"Huwezi kunielewa, kwa maana huridhiki hata kidogo we mvulana."
"Mbona unaniijia juu wakati sikuelewi unazungumza nini? Na kosa langu silijui." Huku akisimama kwa gadhabu na sura akiwa ameikunja.

"Edwin? Usinichezee akili yangu sawa?" Huku akiwa amevimba kwa hasira huku kidole kikiwa usoni mwa Edwin.
"Irene? Unajua sikuelewi maana umekuja vizuri mara ghafla unanibadilikia."

"Usiku wa Jana ulilala wapi?"
"Nililala town." Edwin alijibu kwa kujiamini.
"Ulilala mjini, si ndio?" Huku akienda kusimama dirishani na kuchungulia nje.

"Unataka kusema nini?" Edwin aliuliza huku akimfata Irene nyuma yake.
"Kwanini ukalale mjini?"
"Sasa swali gani hilo?"
"Naomba unijibu na sio uanze kuniuliza maswali yako ya kipumbavu"
"Niliboreka kwasababu ulininunia bila sababu." Huku akikaa kwenye meza.

"Nilikununia bila sababu?"
"Ndio."
"Nilikueleza nini kuhusu madam Happy?"
"Unaongea nini wewe?" Edwin aliuliza kwa hamaki huku akimuangalia Irene usoni.

"Usijifanye mjanja sawa? Mbona unapenda sana chini? Wewe ndio kijogoo wa hiki chuo si ndio?" Irene aliuliza huku akimsukuma kichwa Edwin kwa hasira.

"Aaaaghiii hebu subili kwanza." Huku akimshika mkono Irene.
"Naomba uniache."
"Nisikilize basi, mbona unakua kama mtoto mdogo?"

"Nisikilize kwa makini Edwin, nilitamani sana kukusamehe lakini hueleweki, sasa nakwambia....kesi yetu ndio kwanza umeanza upya." Huku akifungua mlango na kuondoka zake.

"Irene!? Irene!?" Aliita bila mafanikio.
"Shiiit!" Huku akipiga meza kwa jazba.

Akiwa Edwin amejiinamia mara ghafla alisikia mlango ukigongwa na kabla hajajibu ukafunguliwa na kuingia Jesca msimamizi wa Hostel ama unaweza ukamwita warden.

"Mmh! Habari zangu umezipata?" Huku akisimama mbele ya Edwin.
"Habari gani?" Aliuliza kwa mshangao.
"Inamaana kijogoo mwenzako hajakwambia?"
"Hajaniambia chochote Mimi."

"Nahitaji kuwahamisha katika hiki chumba au nilete watu wengine mkae nao." Huku akijishika kiuno kwa mapozi.
"Kwanini sasa iwe hivyo wakati tushakupa pesa zetu!?" Edwin aliuliza kwa jazba huku akisimama mbele ya warden wake.

"Mmh! Kwa hiyo unanifokea si ndio? Sasa ngoja muone." Huku akitaka kutoka lakini alidakwa na Edwin.
"Ngoja basi warden, kwani tatizo ni nini?" Ilimbidi Edwin awe mpole na kutulia.

"Sudi hataki kunielewa kila ananizunguusha." Huku akimgeukia Edwin kwa mapozi na jicho la uchokozi.
"Basi Mimi nitaongea nae usijali." Huku akimuachia mkono Jesca lakini kwa lile jicho lake Edwin aligundua kitu.

"Kwani wewe huwezi kunisaidia?" Huku akianza kumpapasa kifuani.
"Hapana, vizuri yeye mwenyewe akafanya hivyo sio Mimi." Huku akirudi kinyume nyume hadi mezani na kusimama na mapigo yake ya moyo yakiwa yanemuenda mbio vibaya.

"Nazisikia sana sifa zako Edwin." Jesca alianza kuongea kwa sauti ya kimahaba huku jicho akiwa amelilegeza kichokozi ili mradi kumtia lawama Edwin.

"Dah! Mbona mtihani huu tena jamani?" Edwin alijisemea kimoyo moyo huku akiwaza ampe muhogo wa jang'ombe au ampotezee.

"Please! Kama bado mnakitaka hiki chumba naomba unitimizie haja yangu." Huku akiendelea kumpapasa kifuani.

"Natak............aaaahaaaa." Kabpa hajamaliza kauli yake Jesca alijikuta kisha geuzwa na kuinamishwa mezani huku sketi yake fupi akipandishwa kiunoni na chupi yake ikivutwa mapajani na kufanya makalio yake yaonekane vizuri mpaka tunda lake lichomoze kwa nyuma.

Edwin hakutaka kuchelewesha mambo pale pale alishusha nguo zake na kumchomoa mjamaa wake aliyekuwa tayali kasimama kwa hasira.

Taratibu akaanza kuuzamisha msumari ukeni kwa Jesca huku mikono yake ikiwa imeshika kiuno na kuizuia ile sketi isije ikashuka na kuharibu burudani.

"Aaaashiiiiiii......! Mmmmh!" Jesca alibaki kugugumia baada ya msumari kuzama hadi kugusa vyombo vya ndani.
"Tulia mama upate ulichotaka." Huku akiwa anashughulika balaa kuuzamisha na kuutoa msumari wake hadi meza ikawa inacheza cheza.

"Taratibu basi jama.....ni." Huku akitaka kugeuka kumuangalia Edwin lakini alishindwa kwa maana alikuwa amekunjwa vibaya na kukandamizwa misiri ya kuku aliyetaka kuchinjwa.

Jesca alikuwa akilia balaa na sura akiwa ameikunja huku macho akiyafumba kusikilizia utamu ukiochanganyikana na uchungu kwa mbali.

"Shit!" Edwin alijisemea huku akijihisi kumwaga shahawa na alipochomoa mashine yake huku nako kile kiraha cha kumwaga kikawa kishampanda na kubaki akimkandamiza Jesca hadi alipomaliza.

"He! Sasa mbona hujamwaga chochote?" Jesca aliuliza kwa mshangao huku haraka haraka akijitengeneza nguo zake tena akiwa ndio anaipandisha chupi yake kiunoni.

Edwin hakujibu chochote zaidi ya kubaki akijishangaa kwa maana haikuwahi kumtokea ile hali. Jesca alipoona hajibiwi aliamua kuondoka huku akimuangalia Edwin alivyokuwa akijishangaa.

Jesca alipotoka pale pale Edwin alianza kujihisi miguu ikitetemeka na kutaka kuanguka ndipo alipowahi kushika meza na kutembea nayo mpaka kitandani na kujitupia.

"Nini hiki kinataka kunitokea?" Edwin alijiuliza bila kujua game alizocheza usiku kucha na madam Happy halafu hakula chochote na akamvamia Jesca.

Edwin alizidi kujisikia vibaya ndipo alipowahi simu yake na kumpigia rafiki yake ili awahi kumsaidia. Simu ya Sudi iliita bila kupokelewa mpaka Edwin alipokata simu na kujitupia kitandani.

**********
Sudi alikurupuka kitandani kwa Irene huku akiwa uchi wa mnyama na kwenda kuiangalia simu yake.
"Oooh my God! Edwin alinipigia." Alijisemea huku akikaa nguo zake.
"Anataka nini?" Irene aliuliza huku nayeye akitoka kitandani akiwa uchi na kwenda kumkumbatia Sudi.

"Sijajua." Huku akimbusu Irene na kuvuta simu yake haraka kisha akaondoka zake akimuacha Irene akitabasamu.

"Hii ndio dawa ya msaliti." Huku akitabasamu na kujilaza kitandani usoni akionekana kuburudika baada ya kulala na Sudi rafiki wa mpenzi wake.

Sudi aliusukuma mlango na kuingia ndani wanguwangu huku akimuita rafiki yake.
"Edwin!? Edwin!?"

Lakini Edwin hakuitika na Sufi alipofunua pazia ya kitanda cha Edwin alimkuta Edwin yuko katika hali mbaya wala hajitambui kabisa.

Pale pale Sudi ikambidi akamate simu yake na kuita gari ya gonjwa.

ITAENDELEA.



No comments: