HADITHI: RED BIKINI SEHEMU YA TATU(03)



ILIPOISHIA👉🏽 Edwin alianza kazi ya kuingiza uume wake kwa madamu Happy. ENDELEA👇🏽

Taratibu Edwin aliingia uume na kumfanya madam Happy alegee huku akiishiwa nguvu misiri ya punda aliyebebeshwa mzigo uliomzidi nguvu. Edwin alikuwa kijana mwenye balaa kitandani lakini huaga anagawa dozi kulingana na mgonjwa anayekutana naye. Kama siku hiyo atakutana na mwanadada mwenye manjonjo basi huaga nayeye anapiga zile show za kibabe na kama akikutana na wenye umri kidogo kama madam Happy basi huaga analegeza kidogo show zake.

"Taratibu mpenzi, kasi yako mie siiwezi jamani." Madam Happy alianza kulalamika baada ya kuona Edwin anataka kuanza kasi kwenye shughuli.
"Usijali mamaa nafanya kama utakavyo." Huku akipunguza kasi na kuanza kumshika shika kiunoni na kupata kumuangalia kwa umakini na kuuona uzuri wa madam Happy.

"Watu wanazeeka na uzuri wao, hebu angalia madam alivyo umbika jamani." Edwin alijisemea moyoni huku taratibu akiingiza mashine yake na kutoa na kumfanya madam Happy alalamike.

"Ok! Taratibu geuka njoo ukae mapajani." Edwin alichomoa uume wake huku akikaa na kuegamia ukuta.

Taratibu madam Happy alijinyanyua na kwenda kukaa mapajani mwa Edwin huku akiwa amemshikilia mabegani huku akitanua miguu yake na kuufanya uume wa Edwin uingie bila kizuizi hadi ndani.

"Aaaaahhhaaaaaaa mama wee..........su.....su.....biri kwanza." Madam Happy alilalamika baada ya kuona ngoma imepita hadi kugusa mahala penyewe. Ikambidi anyenyuke kwanza huku akianza kujihukumu mwenyewe kwa kupanda hewani na kushuka chini kwa mauno ya kivuvi huku mikono Edwin akiwa amekiahikilia kiuno na mdomo wake ukiendelea kunyonya chuchu za madam.

Mtanange uliendelea taratibu huku kila mmoja akisikilizia raha na utamu aupatao lakini ghafla Edwin akamnyenyua madam Happy na kumbinua hadi akajikuta madam akishika sakafuni huku kiwili wili kikibaki kitandani.

Moto ulianza kuwaka kwa maana Edwin aliona kama madam anamchelewesha, alianza kuingiza uume kwa kasi huku akiondoa sura ya huruma licha ya kilio cha madam Happy.

"Edwin! Edwin! Edwin! Jamani usinifanyie hivyo utaniuwa mwenzio." Huku akimpiga piga mgongoni lakini wala kijana wa watu hakutaka kusikia na alipoona madam anazidi kumaumbua akamshusha sakafuni kabisa na kumkunja kama kuku aliyenyonyolewa manyoya yake. Madam alilia balaa lakini Edwin hakumjali mpaka madam akaanza kumkwangua Edwin kwa kucha zake mgongoni kwa maana kasi ilikuwa kubwa sana.

Edwin aliendelea kumwaga dozi mpaka alipoanza kujihisi jamaa wanasogea, ilipelekea hata yale maumivu ya kukwanguliwa na kucha hakuyasikia.

"Ooohhhooo! Mama weee....leo umeamua kunikomesha Edwin." Madam Happy alilalamika huku akijaribu kumsukuma Edwin aliyekuwa amembana sakafuni na akilimwaga uno kama dansa wa kikongo.

Weka weka nawewe mpaka Edwin alipoakojoa na taratibu alianza kumuachia madam Happy na kulala pembeni sakafuni huku akihema kwa fujo. Madam Happy alitulia nayeye huku mikono yake ikiwa ukeni akijikagua kwa maana ile shughuli aliyofanyiwa na Edwin ilikuwa babu kubwa.

Madam Happy alipomaliza kujiangalia alimuangalia Edwin aliyekuwa ametulia sakafuni huku akilala chali akisikilizia joto lake la mwili.

Taratibu Edwin alianza kuhisi yale maumivu ya michubuko ya kucha mgongoni baada ya kuhisi miwasho mgongoni.

"Edwin!?" Madam aliita kwa sauti ya upole huku akitaka kumshika Edwin.

Edwin alimuangalia madam huku akiwa bado yuko sakafuni na kuanza kucheka.
"Naona leo umeamua kunikomoa?"
"Sorry babby!" Huku akimshika kichwani madam Happy na kumbusu kiganja chake cha mkono kilichokuwa kinacheza cheza usoni mwake.

"Usijali mpenzi lakini usije kurudia tena, utakuja kuniuwa mwenzio."
"Huwezi kufa madam."
"Nilikwambia nini hilo jina tukiwa wawili?"
"ohhoo! Nilisahau mpenzi." Huku akisimama na kumnyanyua madam Happy.

Walisimama na kujikuta wakikumbatiana huku wakiendelea kupeana denda taratibu huku wakipapasana.

**********
"Ulikuwa wapi jana? Nakwanini simu yako kila nikipiga haipatikani?" Mr Kondo alimuuliza mkewe huku akiwa anavaa viatu vyake.
"Nilipatwa na dharula kidogo." Madam Happy alijibu huku akiweka mkoba wake mezani.
"Huo utaratibu umeanza lini.?"
"Utaratibu gani?"

Madam Happy aliuliza huku akikaa kitandani na kuanza kuvua viatu vyake virefu.
"Huo utaratibu wa kutotoa taarifa ukiwa unadharula?"
"Nilishindwa kutokana na simu yangu kuzima chaji."
"Mmmh! Ok!" Huku akisimama na kufunga tai yake vizuri kisha akachukua begi lake na kutoka chumbani.

Mr kondo alipofika varandani alikutana na binti yao wa kazi akiwa anaandaa kifungua kinywa huku akiwa amevaa khanga moja iliyomfanya maumbile yake yaonekane vizuri tena ukizingatia alikuwa na chura ya kutosha.

Mr Kondo alisimama kidogo akimuangalia huku kichwani akikumbuka show alizopiga naye usiku kucha kipindi mkewe alipokuwa anapiga show na kijana Edwin.

Taratibu Mr Kondo alianza kupiga hatua kuelekea nje lakini aliongeleshwa na Farida aliyekuwa anamalizia kuandaa kifungua kinywa mezani.
"Chai tayali shemeji!"

"Usijali! Nimechelewa sana leo acha niwahi." Alimalizia huku akimkonyeza na kumfanya Farida abaki akitabasamu.

Madam Happy alijilaza kitandani huku akijaribu kukumbuka alichokifanya na Edwin hadi akawa anasisimuka mwili wake lakini alipokumbuka ile show ya pale sakafuni akajikuta anasimama na kwenda bafuni.

Haraka haraka alivua nguo zake na kuanza kujiangalia tena ukeni kwake. Alivuta taulo lake na kujifunga kiunoni kisha akatoka hadi varandani.

"Wewe farida?"
"Naam dada!"
"Nilikwambia nini kuhusu kuvaa hivyo?" Huku akisimama mbele ya Farida.
"Samahani dada, nilikuwa na haraka ya kuandaa chai." Huku akiwa amejishika mikono yake kwa kuonesha unyenyekevu.

"Nichemshie maji ya moto haraka uniletee chumbani." Huku akigeuza kurudi chumbani. Madam Happy alihitaji maji ya moto ili apate kujikanda kwa maana ile shughuli ilikuwa balaa hakuwahi kuipata kabla.

**********
"Hellwo!" Sudi aliitika huku akiiweka simu yake sikioni.
"Sorry naweza nikampata Edwin?" Ilisikika sauti ya Irene.
"Mmh! Ase hata sijui nikueleze nini mwa maana tangu Jana alienda town hakurudi." Huku akimalizia kuandika vitu anavyovijua yeye kwenye daftari lake dogo.

"Ok! Sawa ila atakaporudi mwambie anitafute kwa maana nampigia simu yake hapatikani." Irene alizungumza huku sauti yake ikionesha anashida sana na Edwin.

Sudi alipomaliza kuongea na Irene akaiweka simu pembeni kisha akawa anaendelea na kazi zake.
"Huyu mtoto nayeye anabalaa huyu, anasauti tamu kama lilivyo umbo lake." Alijisemea Sudi huku akitabasamu.

Sudi akiwa anaendelea kuwaza yake pale mezani mara mlango ulisukumwa na Edwin alirejea lakini alionekana akiwa amechoka balaa.
"He! Wewe vipi tena babuu?"

"Dah! Acha tu." Edwin aliongea huku akijitupia kitandani kwake.
"Naona kijana uliamua kumalizia usiku mzima?"
"Mmmh! Balaa mzee sio vya kuongelea babuu." Huku akikaa vizuri.

"Hahahha ndio mkome vijana wadogo kutaka kupiga show na wamama watu wazima." Sudi alimtania rafiki yake huku akimpiga mapajani.
"Kausha basi babu, wewe mbona unapiga yule mama muuza chakula pale cafe sikusemi."
"Hahahaha! Huwezi kusema kwa maana hata wewe huaga unapona siku ukiishiwa pesa, si unaendaga kula bure pale?" Sudi alihoji huku akitabasamu.

"Tuachane na hayo mambo." Huku Edwin akivua fulana yake na kuitupia chini.
"He!"
"Nini?"
"Vipi hiyo mikwaruzo babu huko mgongoni?" Sudi aliuliza huku akimshangaa rafiki yake.

"Aaahhhhaaaa ilikuwa vita mzee sio mapenzi." Edwin aliingea huku akijilaza kifudi fudi kitandani na kumuacha rafiki yake abaki akishangaa ile michubuko kwa maana ilikuwa sio ya kawaida.

"Eeehheee nimekumbuka babu!"
"Umekumbuka nini?" Edwin aliuliza huku akinyanyua kichwa chake kumtazama Sudi.
"Irene alinipigia simu."

"Alikuwa anasemaje?" Edwin aliuliza huku akiwa anakurupuka toka kitandani na kukaa vizuri.
"Amesema umtafute." Huku Sudi akichukua begi lake na kuondoka zake.

Haraka haraka Edwin alitoa simu yake mfukoni na kuiwasha huku akivuta na laptop yake kisha akaiweka mezani.

"Ngoja nimtafute ase." Alijisemea huku akiendelea kuonganisha nyaya za chaji ya laptop yake haraka haraka.

Alipomaliza alikaa kwenye kiti huku akiiwasha laptop na moja kwa moja akaanza kulitafuta faili lake la video chafu za ngono na kuanza kuangalia.

"Ngoja nimpigie!" Huku akishika simu yake.
"I like homosexual..." Kabla hajamalizia kauli yake simu ikawa ishapokelewa na Irene akawa amesikia alichokiongea Edwin.

"Uko wapi?"
"Niko hestel." Edwin alijibu.
"Nisubilie nakuja sasa hivi." Irene aliongea na kukata simu.

"Yes!" Edwin alishangilia utazani aliambiwa anakuja kupewa kazi ama pesa.

Aliendelea kuangalia ujinga wake tena kama kawaida yake alikuwa akiangalia video za mapenzi ya jinsia moja tena wakinadada.

"Huyu hata hajachangamka kabisa." Edwin alijisemea huku alitoa na kutafuta nyingine.

**********
"Kwa hiyo Jana uliamua kunidanganya?" Msimamizi wa hostel alimuuliza Sudi huku akiwa anashuka kwenye gari yake.
"Hapana, sena nilitingwa kidogo na discussion." Sudi alijibu huku akitengeneza begi lake begani.

"Kwa hiyo?" Aliuliza
"Nitakwambia." Sudi alijibu na kutaka kuondoka.
"Wewe! Wewe! Kama utaendelea kunisumbua kile chumba nitawapokonya." Jesca alizungumza huku akifunga mlango wa gari yake.

"Usitufanyie hivyo warden." Huku akionesha sura ya unyonge. Wakati Sudi akiendelea kubishana na Jesca mara Irene alionekana akijongea kuja walipo wao.

"Sudi?" Irene aliita huku akimfanya jesca aingie ofisini kwake na jicho la wizi wizi likiwaangalia Sudi na Irene.

"Jamaa kisharudi, nimemuacha room."
"Kishanipigia simu."
"Ok! Poa ngoja nikutane naye." Huku akiingia hostel na kumfanya Sudi ageuze shingo kumuangalia kwa nyuma jinsi mtoto alivyoumbika.

"Mmh! Edwin unakizizi we mbwa!" Kisha akajishika kidevu na kujilamba midomo yake. Kumbe wakati anafanya hivyo Jesca alikuwa akimchungulia dirishani.

"Kijana kimaraya sana hiki." Jesca alijisemea huku akifunika pazia na kujitupia kwenye kiti chake.

Mlango uligongwa na Edwin haraka haraka akazima laptop yake na kusimama. Taratibu aliusogelea mlango na kuufungua, uso kwa uso alikutana na Irene huku wakibaki wakiangaliana.

ITAENDELEA



No comments: